Ads 468x60px

Labels

Tags

Nature

Comments

Custom Widget

Main Slider

Recent in Sports

Recent

Friday 30 January 2015

ELIMU YA AFYA YA UZAZI YAFUNDISHWA KWA SHULE ZA MSINGI - KAHAMA


Mada zinazofundishwa mashuleni na Shirika la REICHET Foundation ni pamoja na:
  • Changamoto kuu za vijana
  • Muundo wa mwili wa binadamu
  • Mfumo wa uzazi
  • Balehe
  • Matatizo ya mfumo wa uzazi
  • Matatizo yenye uhusiano na jinsia
  • HIV na UKIMWI
  • Vishawishi vya ngono 
  • Mchango wa wazazi katika kuzuia ngono
  • Stadi za maisha kwa vijana
  • Namna ya kusoma na kujisomea

Pamoja na changamoto zinawakabili  vijana hawa, lakini wanaonekana kuwa na shauku ya kujifunza, ni wanafunzi wa shule

Tuesday 27 January 2015

SHIRIKA LA REICHET FOUNDATION LINATOA MAFUNZO YA ELIMU YA AFYA YA UZAZI NA UJINSIA

 Katika picha, aliye simama ni mtaalamu wa Elimu ya Afya ya Uzazi kutoka Shirika la REICHET Foundation akitoa elumu hiyo kwa wanafunzi wa darasa sita shule ya msingi Busalala iliyoko wilayani Kahama. Picha na Jovit Novath.

Monday 26 January 2015

Vijana hawa wana ndoto na malengo kwa ajili ya maisha yao ya baadaye, Lakini wasipojifunza vyema elimu ya afya ya uzazi na ujinsia malengo yao hayatatimia.
 

Total Pageviews

Blog Archive