Vijana hawa wana ndoto na malengo kwa ajili ya maisha yao ya baadaye, Lakini wasipojifunza vyema elimu ya afya ya uzazi na ujinsia malengo yao hayatatimia.
Asasi ya REICHET Foundation inaendelea kutoa mafunzo ya Elimu ya Afya ya Uzazi na Ujinsia
kwa shule za msingi. Katika picha kushoto ni mwezeshaji kutoka Asasi ya REICHET ndg Jovith Novat na wanafunzi wa shule ya msingi Mwendakulima iliyoko Wilayani Kahama
No comments:
Post a Comment