Ads 468x60px

Labels

Tags

Nature

Comments

Custom Widget

Main Slider

Recent in Sports

Recent

Friday 30 January 2015

ELIMU YA AFYA YA UZAZI YAFUNDISHWA KWA SHULE ZA MSINGI - KAHAMA


Mada zinazofundishwa mashuleni na Shirika la REICHET Foundation ni pamoja na:
  • Changamoto kuu za vijana
  • Muundo wa mwili wa binadamu
  • Mfumo wa uzazi
  • Balehe
  • Matatizo ya mfumo wa uzazi
  • Matatizo yenye uhusiano na jinsia
  • HIV na UKIMWI
  • Vishawishi vya ngono 
  • Mchango wa wazazi katika kuzuia ngono
  • Stadi za maisha kwa vijana
  • Namna ya kusoma na kujisomea

Pamoja na changamoto zinawakabili  vijana hawa, lakini wanaonekana kuwa na shauku ya kujifunza, ni wanafunzi wa shule


 ya msingi Nyasubi wilayani Kahama mbele ni Afisa Mradi kutoka Shirika la REICHET Foundation Donatha Romward picha na Jovith Novath.





Wanafunzi wa darasa la sita wakiuliza maswali kuhusu afya uzazi. Picha na jovith Novath -REICHET Foundation.

Katika picha, mbele ni mwalimu wa Elimu ya afya ya uzazi kutoka shirika la REICHET Foundation akiwafundisha wanafunzi wa darasa la sita Mabadiliko ya miili yao. Pcha na Jovith Novath - REICHET FOUNDATION
Wanafunzi wa shule ya msingi Nyasubi wafurahia uwepo wa shirika la REICHET Foundation,wakitoa maoni yao kuhusu walivyo faidika na mafunzo hayo.

Mara kwa mara wanafunzi huhitaji kujuwa mengi zaidi kuhusu Elimu ya afya ya uzazi na Ukimwi - picha na Jovith Novath kutoka REICHET Foundation

Wanafunzi wakijaribu kujadili wenyewe kuhusu changamoto wanazokutana nazo. Picha na Jovith Novath kutoka REICHET Foundation


  •  Mijadala ya mara kwa mara kwa vijana kuhusu changamoto zinazowakabili huwasaidia kuepukana na tabia zisizofaa. Shirika linaendesha mijadala hiyo katika shule za msingi.
     Mazingira ya shule ya msingi Nyasubi- picha na Charles Nyanda kutoka REICHET Foundation.
     
     Wanafunzi wakiwa katika kipindi cha VVU na UKIMWI.

    Vijana hawa wanakutana na changamoto nyingi ikiwemo Vishawishi, Mabadiliko ya miili yao n.k lakini hukosa msaada. Picha na Charles Nyanda -REICHET FOUNDATION.
    Mbele ni Mwezeshaji kutoka Asasi ya REICHET Foundation akifundisha VVU ns UKIMWI -Picha na Charles Nyanda - REICHET FOUNDATION

No comments:

 

Total Pageviews

Blog Archive