Hapo mwanzoni ni Bakari Khalid akifuatilia mafunzo
Wajumbe wakiwa katika Ukumbi wakati wa Mafunzo ya kujitolea
LEONARD MASELE, Mwezeshaji akitoa maelekezo kwa washiriki, mafunzo juu ya kujitolea katika miradi ya kijamii yaliyofadhiliwa na RFE katika NGO ya HUHESO Foundatioin
Maelekezo yakitolewa na Leonard Masele, mwezeshaji wa Mafunzo
Wajumbe wa Semina wakifuatilia warsha ikitolewa na Leonard Masele, Meneja kutoka REICHET Foundation
Mwezeshaji LEONARD MASELE kutoka REICHET Foundation akiendelea na Kutoa maelekezo [siku ya pili], Mafunzo yamefadhiliwa na HUHESO Foundation kupitia mradi wa An action on Young Girls Sexual Exploitation