Wajumbe wakiwa katika majadiliano
Ibrahim Shora [mmoja wa washiriki] kutoka Mwanza akitambulishwa na Helen [mwenye Maiki]
Getsaida Kikoti akimtambulisha Nasra Suleiman wakati wa Mafunzo-Ukumbini, siku ya Kwanza
Mwenye Maiki [Furaha] wakichangia hoja
Mkurugenzi Mkuu TWAWEZA-Tanzania akitoa utambulisho juu ya dhana ya UWEZO
Mwenye Maiki[ Daniel] kutoka Nairobi, Kenya akijitambulisha kwa washiriki, Mwanamke katika Picha ni Ms Jonatha Ngisa kutoka Mwanza, na mwingine ni Patrick Natsia kutoka Uganda [Mwezeshaji mkuu]
Wajumbe wa Mafunzo wakiwa katika Picha-Siku ya kwanza
Wajumbe wakiwa katika Picha
Majadiliano yakiendelea
Kazi katika Vikundi
Kundi la Kwanza
Wajumbe wakijadili jinsi ya kukusanya Takwimu katika Kaya
Wajumbe wakijadili jinsi ya Kudodoso katika SERIKALI YA MTAA/KIJIJI
Marekebisho yakifanyika juu ya KUPIMA WATOTO
Leonard Masele [katikati] akiwa katika Majadiliano wakati wa Mafunzo
No comments:
Post a Comment