BAADHI YA WANAFUNZI (WAVULANA) WA LUSHELO SHULE YA MSINGI WAKICHEZA MPIRA KATIKA UWANJA WAO WA MICHEZO WALIPOTEMBELEWA NA Leonard Masele, Meneja kutoka REICHET Foundation.
WAKIWA NA NYUSO ZA FURAHA, WANAFUNZI S/M LUSHELO BAADA YA MICHEZO.BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI IGUNDA WAKIJIANDAA KUPATA UJI(Mikononi-wameshikilia vikombe vyao), Mradi huu unawezeshwa na Wazazi wao.
Baadhi ya wanafunzi(wasichana) wakicheza wakati wa mapumziko
No comments:
Post a Comment