Ads 468x60px

Labels

Tags

Nature

Comments

Custom Widget

Main Slider

Recent in Sports

Recent

Friday 24 October 2014

REICHET FOUNDATION INATOA ELIMU YA AFYA YA UZAZI NA UKIMWI, LENGO MAHSUSI KATIKA MKAKATI HUU NI KUWAWEZESHA VIJANA ILI WAWEZE KUSHIRIKI MIJADALA,KUCHANGIA MAONI NA KUWAONGEZEA UWEZO WA KUAMUA WAO DHIDI YA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI.

HAWA NI WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KATIKA SHULE YA MSINGI BULIGE ILIYOKO KATIKA WILAYA MSALALA MKOANI SHINYANGA, WALIPOTEMBELEWA NA MAAFISA KUTOKA REICHET FOUNDATION. WANAFUNZI WA DARASA LA SITA WAKIFURAHIA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA REICHET FOUNDATION.
WANAFUNZI WA DARASA LA TANO KATIKA SHULE YA MSINGI BULIGE A WAKIWA NA
AFISA MRADI WA REICHET FOUNDATION MR. JOVITH NOVATH BAADHI YA WANAFUNZI WA DARASA LA SITA KATIKA SHULE YA MSINGI BULIGE A, WAKATI WA KIPINDI CHA ELIMU YA AFYA NA UKIMWI KINACHOTOLEWA NA

Thursday 23 October 2014

WANAFUNZI WA DARASA LA SITA KATIKA SHULE YA MSINGI IGUNDA WAKIFURAHIA MAFUNZO KUTOKA ASASI YA REICHET FOUNDATION

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI IGUNDA WAKIFURAHIA MAFUNZO WALIYOYAPATA KUTOKA REICHET FOUNDATION

REICHET FOUNDATION INATEKELEZA SHUGHULI ZA ELIMU YA AFYA YA UZAZI NA UKIMWI KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI KAMA KAMA ILIVYOPANGIWA NA KITENGO CHA UKIMWI - ALMASHAURI YA USHETU

WANAFUNZI WA DARASA LA SITA KATIKA SHULE YA MSINGI IGUNDA WAKIJIFUNZA ELIMU YA VVU NA UKIMWI NA JINSI YA KUKABILIANA NA MAAMBUKIZI MAPYA. WAKIWA NA PROGRAMU AFFICER JOVITH NOVATH KUTOKA REICHET FOUNDATION

REICHET FOUNDATION INAENDELEA NA PROGRAMU YA KUFUNDISHA ELIMU YA AFYA YA UZAZI,VVU NA UKIMWI KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI.

WANAFUNZI WA DARASA LA TANO, SHULE YA MSINGI IGUNDA WAKIWA KATIKA KIPINDI CHA ELIMU YA AFYA YA UZAZI,VVU NA UKIMWI WALIPOTEMBELEWA NA MUELIMISHAJI KUTOKA REICHET FOUNDATION. KUSHOTO NI DONATHA ROMWARD (AFISA MRADI REICHET FOUNDATION) KULIA NI MWALIMU WA SHULE HIYO.

Friday 5 September 2014

WANACHAMA WAANZILISHI WA Kahama Education Network/Mtandao wa Elimu Kahama [KEN/MEK]



 Flavian Lihwa, Team Leader-CARE International, Ofisi ya Kahama akitoa utangulizi juu ya dhana ya Utetezi na Ushawishi dhidi ya vikwazo vinavyomkabili mtoto wa kike katika Elimu
 Anthony Luis, Leonard Masele, Mourine na Gerald Ng'ong'a wakifuatilia majadiliano wakati wa Kikao
 Deogratias Machimu, Juma Mwesigwa, Clement Masonga na Dickson Maganga wakati wa kikao siku ya Pili


 Leonard Masele, Flavian Lihwa, Clement Masonga na Deogratias Machimu wakiwa katika Kikundi wakijadiliana juu ya HADIDU ZA REJEA kufuatia maandalizi ya kutoa Miongozo ya Kumlinda Msichana wakati na Baada ya Kujifungua akiwa anasoma shule
 Kikundi cha Pili, majadiliano yanaendelea
Katika Picha:- Wajumbe waanzilishi wa Kahama Education Network [KEN]/Mtandao wa Elimu Kahama [MEK]. Mashirika Wanachama waanzilishi ni REICHET Foundation, CARE International in Tanzania, Kahama Office, HUHESO Foundation, MUVUMA, KACODA, SHIUUUKA, Kahama Gender Coalition Network, RAFIKI SDO. Lengo kuu la Mtandao ni kutoa ushawishi na utetezi dhidi ya vikwazo anavyopata mtoto wa Kike akiwa anasoma shule.


Wajumbe wakibadilishana mawazo baada ya kikao hicho kilichofanyika katika Ofisi za CARE Inernational, Kahama.

Monday 1 September 2014

MAANDALIZI YA KUFUNDISHA ELIMU YA AFYA YA UZAZI NA UKIMWI ( KWA UFADHILI WA HALAMASHAURI YA USHETU, Idara ya UKIMWI) BAADHI YA WANAFUNZI WAKIONEKANA WALIPOTEMBELEWA NA Leonard Masele, Meneja wa Programu, REICHET Foundation,

 BAADHI YA WANAFUNZI (WAVULANA) WA LUSHELO SHULE YA MSINGI WAKICHEZA MPIRA KATIKA UWANJA WAO WA MICHEZO WALIPOTEMBELEWA NA Leonard Masele, Meneja kutoka REICHET Foundation.
 WAKIWA NA NYUSO ZA FURAHA, WANAFUNZI S/M LUSHELO BAADA YA MICHEZO.
 BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI IGUNDA WAKIJIANDAA KUPATA UJI(Mikononi-wameshikilia vikombe vyao), Mradi huu unawezeshwa na Wazazi wao. 
 Baadhi ya wanafunzi(wasichana) wakicheza wakati wa mapumziko



Wednesday 27 August 2014

TIMU YA AMBASSADOR FC IKIWA UWANJANI NA KIKOSI CHA POLISI KATIKA UWANJA WA HALMASHAURI, KAHAMA

 Baadhi ya watazamaji wakifuatilia michezo katika uwanja wa Halmashauri-Kahama
 wachezaji kutoka timu ya AMBASSADOR WAKIJIANDAA[chini/juu]

 wakati wa mapumziko

 wachezaji wakipata Mawaidha, kabla ya kuanza mechi

Baadhi ya viongozi wakishauriana kabla ya kuanza michezo[chini]

 mgeni rasmi akikagua wachezaji
 mgeni rasmi akikagua wachezaji
 Wachezaji wakipimana nguvu uwanjani[ chini]

Saturday 2 August 2014

WAJUMBE WAKIWA KWENYE Majadiliano wakati wa MAFUNZO YA WARATIBU WA WILAYA [DISTRICT PILOT] TAREHE 31 JULAI HADI 02 AGOSTI, 2014 KWENYE UKUMBI WA B-Z MOROGORO. MAFUNZO HAYO YANATOLEWA NA TWAWEZA-AFRIKA MASHARIKI KUPITIA PROGRAMU YA 'UWEZO' NI SEHEMU YA MAANDALIZI YA KUFANYA UTAFITI KWA WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA 7-16 KUPIMA UWEZO WAO WA KUSOMA, KUANDIKA NA HISABATI. Programu hiyo itafanyika Kahama, Mratibu wa WILAYA katika Programu hiyo ni LEONARD MASELE kupitia NGO ya HUHESO Foundation, Tanzania

 Wajumbe wakiwa katika majadiliano
 Ibrahim Shora [mmoja wa washiriki] kutoka Mwanza akitambulishwa na Helen [mwenye Maiki]
 Getsaida Kikoti akimtambulisha Nasra Suleiman wakati wa Mafunzo-Ukumbini, siku ya Kwanza
 Mwenye Maiki [Furaha] wakichangia hoja
 Mkurugenzi Mkuu TWAWEZA-Tanzania akitoa utambulisho juu ya dhana ya UWEZO
 Mwenye Maiki[ Daniel] kutoka Nairobi, Kenya akijitambulisha kwa washiriki, Mwanamke katika Picha ni Ms Jonatha Ngisa kutoka Mwanza, na mwingine ni Patrick Natsia kutoka Uganda [Mwezeshaji mkuu]
 Wajumbe wa Mafunzo wakiwa katika Picha-Siku ya kwanza
 Wajumbe wakiwa katika Picha
 Majadiliano yakiendelea
 Kazi katika Vikundi
 Kundi la Kwanza
 Wajumbe wakijadili jinsi ya kukusanya Takwimu katika Kaya
 Wajumbe wakijadili jinsi ya Kudodoso katika SERIKALI YA MTAA/KIJIJI
 Marekebisho yakifanyika juu ya KUPIMA WATOTO

Leonard Masele [katikati] akiwa katika Majadiliano wakati wa Mafunzo
 

Total Pageviews

Blog Archive