Utapiamlo ni ugonjwa
unaoathiri kukua kwa mwili na akili ya mtoto. Idadi ya watoto wanaopata ugonjwa
huo hapa nchini inakadiriwa kuwa asilimia 42 huku ikiwa inahofiwa kuongezeka
ambapo mara nyingi huwapata watoto wenye umri chini ya miaka 18.
Kwa nini ni vigumu sana kushinda
tatizo hilo? Ili kupata jibu, ni vyema kuujuwa kwanza ugonjwa wa utapiamlo, na
kuchunguza athari na visababishi vilivyotia mizizi vya ugonjwa huo.
UTAPIAMLO HUSABABISHWA NA NINI?
Utapiamlo husababishwa na ukosefu wa
vitamini na madini ya kutosha katika chembe za mwili, na kwa kawaida
husababishwa na mambo mawili: